Jim Gray (mwanasheria)

Jim Gray

James Polin Gray (alizaliwa Februari 14, 1945) ni mwanasheria na mwandishi kutoka nchini Marekani. Alikuwa hakimu msimamizi wa Mahakama ya Juu ya Kaunti ya Orange, California. Gray alikuwa makamu wa rais wa Chama cha Libertarian mwaka 2012, na pia mgombeaji wa chama hicho mnamo mwaka 2004 katika Seneti ya Marekani huko California.Ni mwandishi wa vitabu na pia muandishi wa tamthilia na ni mkosoaji mkubwa wa sheria za dawa za nchini marekani.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search